Browsing by Title
Now showing items 684-703 of 731
-
Training in online search skills at Sokoine University of Agriculture, Tanzania: the use of TEEAL and AGORA databases
(African Journals Online, 2008)TEEAL and AGORA databases form an important part of the electronic resources at Sokoine National Agricultural Library in Tanzania (SNAL). This paper presents strategies that SNAL has used to ensure that students, academic ... -
Trait improvement and monetary returns in alternative closed and open nucleus breeding programmes for Boran cattle reared in semi-arid tropics
(ELSEVIER, 2011-04)This paper aimed at evaluating closed and open nucleus schemes for Boran cattle based on genetic and economic merits of three alternative breeding programmes; 1) breeding programme closed to the members of the Boran Cattle ... -
Transmission-Dependent Tolerance to Multiclonal Plasmodium falciparum Infection
(Journal of Infectious Diseases, 2009-10-01)Abstract Whether the number of concurrent clones in asymptomatic Plasmodium falciparum infections reflects the degree of host protection was investigated in children living in areas with different levels of transmission ... -
Transporters face uncertain times amid night travel ban
(Daily Nation, 2022-01-14) -
Trends and Issues in School Librarianship
(Conference paper, 2017-10-13) -
Tsavo elephants impose a 'dusk to dawn curfew' in Mwatate
(The Standard, 2022-05-27)Residents of parts of Mwatate in Taita County are living in fear as elephants invade homesteads. The elephants that are breaking out of their 28,000-acre Taita Hills and Salt Lick Sanctuary habitats have been causing massive ... -
UATHIRIANOMATINI KATIKA USHAIRI WA KISWAHILI: MFANO WA UTENZI WA HATI NA UTENZI WA MWANAKUPONA
(Pwani University, 2022-07-13)Wataalamu wengi waliohakiki Utenzi wa Hati (1966) na Utenzi wa Mwanakupona (1860) wamedai kwamba UH umeathiriwa kwa kiasi kikubwa na Utenzi wa Mwanakupona (1860) katika fasihi ya Kiswahili bila kutoa ushahidi wa kina ... -
UBADILISHAJI WA IRABU CHANGAMANO KATIKA SILABI ZA LUISUKHA
(Pwani University, 2024-10-21)Huu ni utafiti uliohusu uchanganuzi wa irabu changamano katika lahaja ya Luisukha.Uchanganuzi wa irabu una maana ya silabi zenye muundo wa irabu mbili.Matamshi ya maneno katika lugha hudhihirisha muundo wa neno hilo ambao ... -
UCHANGANUZI WA ATHARI ZA KIMOFOFONOLOJIA MIONGONI MWA WANAFUNZI WA KISOMALI WANAPOJIFUNZA LUGHA YA KISWAHILI
(Pwani University, 2019-07-28)Utafiti huu ulishughulikia makosa ya kimofofonolojia miongoni mwa wanafunzi wa Kisomali wanapojifunza Kiswahili sanifu kama lugha yao ya pili. Utafiti huu ulifanywa katika shule za upili za umma katika kaunti–ndogo ya ... -
UCHANGANUZI WA MAKOSA YA KIMOFOFONOLOJIA KATIKA LUGHA YA KISWAHILI MIONGONI MWA WANAFUNZI WENYE ASILI YA LUGHA YA KIKAMBA
(Pwani University, 2020-05-04)Utafiti huu umechanganua makosa ya kimofofonolojia yanayofanywa na wanafunzi wa shule za upili ambao ni wazungumzaji wa lugha ya Kikamba wanapojifunza lugha ya Kiswahili kama lugha ya pili. Utafiti huu ulinuia kutambua ... -
UCHANGANUZI WA MAKOSA YA KIMOFOFONOLOJIA YA WANAFUNZI WA KIWAAṰA WANAPOJIFUNZA LUGHA YA KISWAHILI
(Pwani University, 2022-03-14)Utafiti huu ulihusu uchanganuzi wa makosa ya kimofofonolojia ya wanafunzi wa Kiwaaṱa wanapojifunza Kiswahili kama lugha ya pili. Hivyo basi utafiti huu ulilenga kueleza Fonolojia ya lugha ya Kiwaaṱa kwa kufafanua sifa ... -
UCHANGANUZI WA MAUDHUI YA NYIMBO ZA MSONDO NA ATHARI ZAKE KWA WANANDOA KATIKA JAMII YA WADIGO
(Pwani Unversity, 2018-05-15)Nyimbo za msondo za jamii ya Wadigo ni aina za nyimbo ambazo huimbwa wakati wa harusi upande wa kwa bi. harusi na huwa tofauti kabisa na nyimbo za harusi za kawaida. Utafiti huu ulinuia kuchanganua maudhui ya nyimbo za ... -
UCHANGANUZI WA MAUDHUI YA SIASA KATIKA HADITHI MBILI, KIKAZA YA ROBERT ODUORI NA UTEUZI WA MOYONI YA RAYYA TIMAMMY
(Pwani University, 2018-10)Utafiti huu umeshughulikia uchanganuzi wa maudhui ya siasa jinsi yanavyodhihirika katika hadithi iliyotungwa na Oduori, Kikaza na hadithi iliyotungwa na Timammy, Uteuzi wa Moyoni. Mbali na kuchanganua maudhui, utafiti huu ... -
UCHANGANUZI WA MIUNDO YA VISHAZI KATIKA SENTENSI ZA LAHAJA YA KIMAKUNDUCHI
(Pwani Unversity, 2015-08-12)Kishazi ni kundi la maneno lenye uhusiano wa kiima- kiarifu hasa likiwa ndani ya sentensi kuu. Kikundi cha maneno hicho kinaundwa kwa elementi kadhaa, miongoni mwa elementi zake hizo lazima kiwemo kirai kitenzi. Kirai ... -
UCHANGANUZI WA NOMINO-MKOPO ZA KIGIRYAMA KUTOKA KIINGEREZA
(Pwani Unversity, 2015-06-05)Utafiti huu umechanganua kimofofonolojia nomino-mkopo za lugha ya Kigiryama zinazotokana na lugha ya Kiingereza na kubainisha kanuni zinazoongoza michakato mahsusi. Madhumuni ya utafiti huu ni kutambulisha nomino-mkopo ... -
UCHANGANUZI WA TONOLOJIA YA KICHONYI KWA MKABALA WA NADHARIA YA FONOLOJIA VIPANDESAUTI HURU
(Pwani University, 2022-09-15)Toni katika lugha toni hudhihirika wakati wa uzungumzaji na hufanya neno kuwa na maana zaidi ya moja. Neno lenye toni linapotumika katika sentensi, mabadiliko ya toni huweza kuleta tofauti ya maana katika sentensi mahususi. ... -
UCHUNGUZI WA JINSI KUCHANGANYA NDIMI KATIKA MATUMIZI YA LUGHA YA KISWAHILI NA KIINGEREZA KUNAVYOATHIRI MAENDELEO YA KISWAHILI SANIFU KATIKA CHUO KIKUU CHA PWANI
(Pwani University, 2022-03-03)Utafiti huu ulilenga kuchunguza jinsi kuchanganya ndimi kunavyoathiri maendeleo ya lugha ya Kiswahili sanifu kutokana na maneno ya Kiingereza yanayochopekwa katika lugha ya Kiswahili wakati wa mawasiliano. Kuchanganya ndimi ... -
UDHANAISHI KATIKA RIWAYA ZA THOMAS KAMUGISHA: KITU KIDOGO TU! NA HARUSI YA WENDAWAZIMU
(ABDALLAH MZUNGU CHIMERAH, 2021-03-01)Utafiti huu ulichunguza udhanaishi katika matendo na maneno ya wahusika katika riwaya mbili za Thomas A. R. Kamugisha; Kitu Kidogo Tu! na Harusi ya Wendawazimu. Hivyo, madhumuni ya utafiti huu yalikuwa ni kuchunguza matendo ... -
UHAKIKI WA MAUDHUI NA FANI KATIKA UTENZI WA MWANAMANGA UTUNZI WAKE FUMO LIYONGO
(Pwani University, 2018-10-01)IKISIRI Utafiti huu ulihusu uchunguzi wa maudhui na fani katika Utenzi wa Mwanamanga. Utafiti huu ulilenga kuchunguza maudhui na vipengee vya fani vilivyodhihirika katika utenzi huo. Utafiti huu vilevile ulilenga kubainisha ... -
UKOPAJI WA MANENO YA KISWAHILI SANIFU KATIKA LUGHA YA KIGIRIAMA: MICHAKATO NA SHERIA ZA KIFONOLOJIA.
(Pwani Unversity, 2017-05-15)Lugha ya Kiswahili na Kigiriama zimekuwa na mgusano wa muda mrefu kwani jamii hizi mbili zimekuwa majirani hasa katika mwambao wa pwani ya Kenya (Guthrie 1971). Utafiti huu umechunguza ukopaji wa maneno ya lugha ya ...