Browsing Electronic Theses and Dissertations by Title
Now showing items 289-308 of 323
-
THEORETICAL INVESTIGATION OF THE OH + C2H4 REACTION UNDER CONDITIONS RELEVANT TO COMBUSTION CHEMISTRY
(PWANI UNIVERSITY, 2023-12-24)The global energy supply heavily relies on fossil fuels, with petroleum oil alone constituting one-third of the total supply. Nonetheless, due to centuries of substantial demand propelled by industrialization, projections ... -
THEORETICAL STUDY OF UNIAXIAL STRESS, SPATIAL DIELECTRIC FUNCTIONS AND TEMPERATURE DEPENDENCE OF PHOTOIONIZATION CROSS-SECTION OF DONOR IMPURITIES IN A GaAs QUANTUM WELL DOT
(Pwani University, 2020-06-05)he present work considers photoionization cross-section of donor impurities in a GaAs quantum well dot of cylindrical geometry. The quantum dot is itself embedded in a Ga Al As 1x x matrix. A trial wave function that ... -
A THESIS SUBMITTED IN PARTIAL FULFILLMENT OF THE REQUIREMENTS FOR THE DEGREE OF MASTER OF SCIENCE IN FOODS, NUTRITION AND DIETETICS OF PWANI UNIVERSITY
(PWANI UNIVERSITY, 2024-05-24)Lactating adolescents represent a particularly vulnerable demographic due to a confluence of physiological, social, and economic factors. This study aimed to investigate the association of nutritional status, feeding ... -
TOUR FIRMS’ READINESS TO CATER FOR TOURISTS WITH PHYSICAL IMPAIRMENTS IN KENYA
(Pwani University, 2019-07-29)The concept of accessible tourism aims to facilitate tourists with physical impairments to participate in mainstream tourism activities. Although it is a requirement for tour firms to have requisites to cater for tourists ... -
TOWARDS THE INCULTURATION OF NYERE ZA MWEZI, AN AGIRIAMA FUNERAL RITE, WITH SPECIFIC REFERENCE TO ST. PATRICK ROMAN CATHOLIC CHURCH IN KILIFI, KENYA
(Pwani Unversity, 2016-06-06)his study examined the possibilities of inculturating ‘Nyere za Mwezi’, an Agiriama funeral rite with specific reference to Roman Catholic Churchin Kilifi County. The objectives of the study were to; i.) analyze the ... -
UATHIRIANOMATINI KATIKA USHAIRI WA KISWAHILI: MFANO WA UTENZI WA HATI NA UTENZI WA MWANAKUPONA
(Pwani University, 2022-07-13)Wataalamu wengi waliohakiki Utenzi wa Hati (1966) na Utenzi wa Mwanakupona (1860) wamedai kwamba UH umeathiriwa kwa kiasi kikubwa na Utenzi wa Mwanakupona (1860) katika fasihi ya Kiswahili bila kutoa ushahidi wa kina ... -
UBADILISHAJI WA IRABU CHANGAMANO KATIKA SILABI ZA LUISUKHA
(Pwani University, 2024-10-21)Huu ni utafiti uliohusu uchanganuzi wa irabu changamano katika lahaja ya Luisukha.Uchanganuzi wa irabu una maana ya silabi zenye muundo wa irabu mbili.Matamshi ya maneno katika lugha hudhihirisha muundo wa neno hilo ambao ... -
UCHANGANUZI WA ATHARI ZA KIMOFOFONOLOJIA MIONGONI MWA WANAFUNZI WA KISOMALI WANAPOJIFUNZA LUGHA YA KISWAHILI
(Pwani University, 2019-07-28)Utafiti huu ulishughulikia makosa ya kimofofonolojia miongoni mwa wanafunzi wa Kisomali wanapojifunza Kiswahili sanifu kama lugha yao ya pili. Utafiti huu ulifanywa katika shule za upili za umma katika kaunti–ndogo ya ... -
UCHANGANUZI WA KIMOFOFONOLOJIA WA MANENO-MKOPO YA KIMBEERE KUTOKA LUGHA YA KISWAHILI
(Kithaka wangari, 2023-12)Utafiti huu umechanganua kimofofonolojia maneno-mkopo ya lugha ya Kimbeere kutoka lugha ya Kiswahili ili kutambua nomino- mkopo na vitenzi- mkopo vya asili ya Kiswahili katika lugha ya Kimbeere. Malengo ya utafiti huu ... -
UCHANGANUZI WA MAKOSA YA KIMOFOFONOLOJIA KATIKA LUGHA YA KISWAHILI MIONGONI MWA WANAFUNZI WENYE ASILI YA LUGHA YA KIKAMBA
(Pwani University, 2020-05-04)Utafiti huu umechanganua makosa ya kimofofonolojia yanayofanywa na wanafunzi wa shule za upili ambao ni wazungumzaji wa lugha ya Kikamba wanapojifunza lugha ya Kiswahili kama lugha ya pili. Utafiti huu ulinuia kutambua ... -
UCHANGANUZI WA MAKOSA YA KIMOFOFONOLOJIA YA WANAFUNZI WA KIWAAṰA WANAPOJIFUNZA LUGHA YA KISWAHILI
(Pwani University, 2022-03-14)Utafiti huu ulihusu uchanganuzi wa makosa ya kimofofonolojia ya wanafunzi wa Kiwaaṱa wanapojifunza Kiswahili kama lugha ya pili. Hivyo basi utafiti huu ulilenga kueleza Fonolojia ya lugha ya Kiwaaṱa kwa kufafanua sifa ... -
UCHANGANUZI WA MAUDHUI YA NYIMBO ZA MSONDO NA ATHARI ZAKE KWA WANANDOA KATIKA JAMII YA WADIGO
(Pwani Unversity, 2018-05-15)Nyimbo za msondo za jamii ya Wadigo ni aina za nyimbo ambazo huimbwa wakati wa harusi upande wa kwa bi. harusi na huwa tofauti kabisa na nyimbo za harusi za kawaida. Utafiti huu ulinuia kuchanganua maudhui ya nyimbo za ... -
UCHANGANUZI WA MAUDHUI YA SIASA KATIKA HADITHI MBILI, KIKAZA YA ROBERT ODUORI NA UTEUZI WA MOYONI YA RAYYA TIMAMMY
(Pwani University, 2018-10)Utafiti huu umeshughulikia uchanganuzi wa maudhui ya siasa jinsi yanavyodhihirika katika hadithi iliyotungwa na Oduori, Kikaza na hadithi iliyotungwa na Timammy, Uteuzi wa Moyoni. Mbali na kuchanganua maudhui, utafiti huu ... -
UCHANGANUZI WA MIUNDO YA VISHAZI KATIKA SENTENSI ZA LAHAJA YA KIMAKUNDUCHI
(Pwani Unversity, 2015-08-12)Kishazi ni kundi la maneno lenye uhusiano wa kiima- kiarifu hasa likiwa ndani ya sentensi kuu. Kikundi cha maneno hicho kinaundwa kwa elementi kadhaa, miongoni mwa elementi zake hizo lazima kiwemo kirai kitenzi. Kirai ... -
UCHANGANUZI WA NOMINO-MKOPO ZA KIGIRYAMA KUTOKA KIINGEREZA
(Pwani Unversity, 2015-06-05)Utafiti huu umechanganua kimofofonolojia nomino-mkopo za lugha ya Kigiryama zinazotokana na lugha ya Kiingereza na kubainisha kanuni zinazoongoza michakato mahsusi. Madhumuni ya utafiti huu ni kutambulisha nomino-mkopo ... -
UCHANGANUZI WA TONOLOJIA YA KICHONYI KWA MKABALA WA NADHARIA YA FONOLOJIA VIPANDESAUTI HURU
(Pwani University, 2022-09-15)Toni katika lugha toni hudhihirika wakati wa uzungumzaji na hufanya neno kuwa na maana zaidi ya moja. Neno lenye toni linapotumika katika sentensi, mabadiliko ya toni huweza kuleta tofauti ya maana katika sentensi mahususi. ... -
UCHUNGUZI WA JINSI KUCHANGANYA NDIMI KATIKA MATUMIZI YA LUGHA YA KISWAHILI NA KIINGEREZA KUNAVYOATHIRI MAENDELEO YA KISWAHILI SANIFU KATIKA CHUO KIKUU CHA PWANI
(Pwani University, 2022-03-03)Utafiti huu ulilenga kuchunguza jinsi kuchanganya ndimi kunavyoathiri maendeleo ya lugha ya Kiswahili sanifu kutokana na maneno ya Kiingereza yanayochopekwa katika lugha ya Kiswahili wakati wa mawasiliano. Kuchanganya ndimi ... -
UDHANAISHI KATIKA RIWAYA ZA THOMAS KAMUGISHA: KITU KIDOGO TU! NA HARUSI YA WENDAWAZIMU
(ABDALLAH MZUNGU CHIMERAH, 2021-03-01)Utafiti huu ulichunguza udhanaishi katika matendo na maneno ya wahusika katika riwaya mbili za Thomas A. R. Kamugisha; Kitu Kidogo Tu! na Harusi ya Wendawazimu. Hivyo, madhumuni ya utafiti huu yalikuwa ni kuchunguza matendo ... -
UHAKIKI WA MAUDHUI NA FANI KATIKA UTENZI WA MWANAMANGA UTUNZI WAKE FUMO LIYONGO
(Pwani University, 2018-10-01)IKISIRI Utafiti huu ulihusu uchunguzi wa maudhui na fani katika Utenzi wa Mwanamanga. Utafiti huu ulilenga kuchunguza maudhui na vipengee vya fani vilivyodhihirika katika utenzi huo. Utafiti huu vilevile ulilenga kubainisha ... -
UKOPAJI WA MANENO YA KISWAHILI SANIFU KATIKA LUGHA YA KIGIRIAMA: MICHAKATO NA SHERIA ZA KIFONOLOJIA.
(Pwani Unversity, 2017-05-15)Lugha ya Kiswahili na Kigiriama zimekuwa na mgusano wa muda mrefu kwani jamii hizi mbili zimekuwa majirani hasa katika mwambao wa pwani ya Kenya (Guthrie 1971). Utafiti huu umechunguza ukopaji wa maneno ya lugha ya ...