Browsing Electronic Theses and Dissertations by Title
Now showing items 302-321 of 323
-
UCHANGANUZI WA MIUNDO YA VISHAZI KATIKA SENTENSI ZA LAHAJA YA KIMAKUNDUCHI
(Pwani Unversity, 2015-08-12)Kishazi ni kundi la maneno lenye uhusiano wa kiima- kiarifu hasa likiwa ndani ya sentensi kuu. Kikundi cha maneno hicho kinaundwa kwa elementi kadhaa, miongoni mwa elementi zake hizo lazima kiwemo kirai kitenzi. Kirai ... -
UCHANGANUZI WA NOMINO-MKOPO ZA KIGIRYAMA KUTOKA KIINGEREZA
(Pwani Unversity, 2015-06-05)Utafiti huu umechanganua kimofofonolojia nomino-mkopo za lugha ya Kigiryama zinazotokana na lugha ya Kiingereza na kubainisha kanuni zinazoongoza michakato mahsusi. Madhumuni ya utafiti huu ni kutambulisha nomino-mkopo ... -
UCHANGANUZI WA TONOLOJIA YA KICHONYI KWA MKABALA WA NADHARIA YA FONOLOJIA VIPANDESAUTI HURU
(Pwani University, 2022-09-15)Toni katika lugha toni hudhihirika wakati wa uzungumzaji na hufanya neno kuwa na maana zaidi ya moja. Neno lenye toni linapotumika katika sentensi, mabadiliko ya toni huweza kuleta tofauti ya maana katika sentensi mahususi. ... -
UCHUNGUZI WA JINSI KUCHANGANYA NDIMI KATIKA MATUMIZI YA LUGHA YA KISWAHILI NA KIINGEREZA KUNAVYOATHIRI MAENDELEO YA KISWAHILI SANIFU KATIKA CHUO KIKUU CHA PWANI
(Pwani University, 2022-03-03)Utafiti huu ulilenga kuchunguza jinsi kuchanganya ndimi kunavyoathiri maendeleo ya lugha ya Kiswahili sanifu kutokana na maneno ya Kiingereza yanayochopekwa katika lugha ya Kiswahili wakati wa mawasiliano. Kuchanganya ndimi ... -
UDHANAISHI KATIKA RIWAYA ZA THOMAS KAMUGISHA: KITU KIDOGO TU! NA HARUSI YA WENDAWAZIMU
(ABDALLAH MZUNGU CHIMERAH, 2021-03-01)Utafiti huu ulichunguza udhanaishi katika matendo na maneno ya wahusika katika riwaya mbili za Thomas A. R. Kamugisha; Kitu Kidogo Tu! na Harusi ya Wendawazimu. Hivyo, madhumuni ya utafiti huu yalikuwa ni kuchunguza matendo ... -
UHAKIKI WA MAUDHUI NA FANI KATIKA UTENZI WA MWANAMANGA UTUNZI WAKE FUMO LIYONGO
(Pwani University, 2018-10-01)IKISIRI Utafiti huu ulihusu uchunguzi wa maudhui na fani katika Utenzi wa Mwanamanga. Utafiti huu ulilenga kuchunguza maudhui na vipengee vya fani vilivyodhihirika katika utenzi huo. Utafiti huu vilevile ulilenga kubainisha ... -
UKOPAJI WA MANENO YA KISWAHILI SANIFU KATIKA LUGHA YA KIGIRIAMA: MICHAKATO NA SHERIA ZA KIFONOLOJIA.
(Pwani Unversity, 2017-05-15)Lugha ya Kiswahili na Kigiriama zimekuwa na mgusano wa muda mrefu kwani jamii hizi mbili zimekuwa majirani hasa katika mwambao wa pwani ya Kenya (Guthrie 1971). Utafiti huu umechunguza ukopaji wa maneno ya lugha ya ... -
UNDERSTANDING THE SOURCES OF INTRODUCTIONS AND GENETIC DIVERSITY OF ROTAVIRUS A STRAINS THROUGH WHOLE GENOME ANALYSIS OF ROTAVIRUS G8P[4] AND G9P[8] STRAINS DETECTED IN KILIFI KENYA, 2010 - 2019
(Pwani University, 2021-10-08)Background: Rotavirus Group A (RVA) is the primary cause of severe dehydrating diarrhoea in young children. Notwithstanding the introduction of the RVA vaccination in several countries, RVA continues to be a major cause ... -
UNRAVELING THE GENETIC BASIS AND ADAPTIVE SIGNIFICANCE OF ISOENZYME POLYMORPHISM IN TRYPANOSOMA VIVAX: A COMPARATIVE SEQUENCE ANALYSIS APPROACH
(PWANI UNIVERSITY, 2023-06-24)Trypanosoma vivax is a hemoprotozoan cattle pathogen that affects the livelihood of many herders. It shows variation between strains in East and West Africa, which was observed by analyzing various isoenzymes in 13 ... -
UPTAKE OF CERVICAL CANCER SCREENING AMONG WOMEN AGED18-49 YEARS IN MALINDI SUB COUNTY HOSPITAL
(Pwani Unversity, 2015-11-08)Cervical cancer is the third most common cancer among women worldwide with an estimated annual incidence of 0.5 million cases and 300,000 deaths. More than 85% of new cases and deaths occur in developing countries. In ... -
URBAN ECOLOGY OF CULEX QUINQUEFASCIATUS AND AEDES AEGYPTI MOSQUITOES AND TRANSMISSION DYNAMICS OF ARBOVIRUSES IN COASTAL KENYA
(Pwani University, 2018-08)round: The emergence and re-emergence of arboviral infections in humans around the world threatens global health and security. Although there are several arthropod borne viruses, the most prevalent and pose great risk are ... -
USAWIRI WA MWANAMUME KATIKA METHALI ZA KIMERU NCHINI KENYA
(Pwani University, 2016-08)Utafiti huu unahusu uchanganuzi wa usawiri wa mwanamume katika methali za Kimeru. Imebainika kuwa usawiri wa mwanamume katika methali za Kimeru haujawekwa bayana na utafiti wowote. Utafiti huu umebainisha jinsi ... -
USEFULLNESS OF IKHTILĀF IN EXPLAINING KNOWLEDGE OF MĪRĀTH IN MUHAMMAD SAYYID ALI BADAWY’S MANUSCRIPT: ĪḌĀH AL-GHAWĀMIḌ LIL MUBTADĪ FĪ 'ILM AL-FARĀIḌ
(Pwani University, 2019-11-28)Manuscripts production is a significant component of knowledge tradition of Islam in East Africa. Manuscripts are produced for academic instruction and for the preservation of and as sources of knowledge. In Lamu, one of ... -
USHAHIDI UNAODHIHIRISHA KUWA KISWAHILI SI KIARABU
(Pwani University, 2021-07-13)Utafiti huu umeonyesha kuwa Kiswahili ni lugha kamili, huru inayoweza kujisimamia kama lugha nyingine yoyote. Vilevile umepinga swala la kuwa Kiswahili ni Kiarabu. Maneno asili ya Kiarabu yamefanyiwa utafiti kwa njia ya ... -
USING WHOLE GENOME SEQUENCING TO DETERMINE THE TRANSMISSION DYNAMICS AND ACQUISITION OF ANTIMICROBIAL RESISTANCE AT SELECTED REFERRAL HOSPITALS AND COMMUNITY SETTINGS IN UGANDA AND TANZANIA
(Pwani University, 2022-11-14)The recent comeback of multidrug resistant pathogens through persistent misapplication of antibiotics has aggravated their threat to worldwide human public health and well-being. Determining the scope of the antimicrobial ... -
USTADH MUHAMMAD BIN SHARIF SA’ID AL-BEIDH (1942 - 2013): A CRITICAL ANALYSIS OF A UNIFIER, DA’I (PREACHER) AND MUSLIM INTELLECTUAL IN EAST AFRICA
(Pwani University, 2021-12-06)he study tried to analyse the life of Ustadh Muhammad bin Sharif Sa’id Al-Beidh (1942 - 2013). The evaluation of Al-Beidh’s life focused on social, spiritual and academic service he rendered to the East African ummah ... -
UTENZI WA AL-INKISHAFI: DHIHIRISHO LA UHALISIAJABU KATIKA KUENDELEZA MAUDHUI YA DINI YA KIISLAMU
(Pwani University, 2018-05)Utafiti huu unahusu uchanganuzi wa kihalisiajabu kuendeleza maudhui ya dini katika Utenzi wa Al-Inkishafi wa Sayyid Abdallah bin Ali bin Nassir, mshairi mtajika aliyeishi katika kisiwa cha Pate baina ya 1718-1815 (Chiraghdin, ... -
UTILIZATION OF COW DUNG BIOSLURRY FROM ANAEROBIC DIGESTION AS FERTILIZER IN IMPROVING SOIL FERTILITY AND MAIZE PRODUCTIVITY IN KIAMBU COUNTY, KENYA
(Pwani University, 2022-09-17)Increasing demand for food triggered by increasing population prompts a reciprocal increase in food production. Bioslurry has potential to improve crop productivity. However, bioslurry quality varies, influenced by biodigester ... -
THE VARIATION OF PHOTOIONIZATION CROSS-SECTION WITH INCIDENT PHOTON FREQUENCY AND WITH POSITION OF A DONOR IMPURITY IN A QUANTUM WELL DOT OF SQUARE CROSS-SECTION USING A VARIATIONAL TECHNIQUE
(Pwani Unversity, 2018-04-08)In the present work, we carried out a theoretical study of the variation of the photoionization cross-section with the position of a hydrogenic donor impurity along the growth axis of a square GaAs quantum well dot. In our ... -
VULNERABILITY OF SMALLHOLDER HOUSEHOLDS LIVELIHOODS TO DROUGHT AND FLOODS IN KINAKOMBA WARD, TANA RIVER COUNTY KENYA
(Pwani University, 2021-05-06)The smallholder households’ who rely on crop farming activities as main livelihood are predisposed to the vagaries of climate related shocks. Drought and Floods affect crop farming activities in many parts of the making ...